إِذَا رَأَتْهُمْ مِنْ مَكَانٍ بَعِيدٍ سَمِعُوا لَهَا تَغَيُّظًا وَزَفِيرًا
Al-Barwani
Ule Moto ukiwaona tangu mahali mbali wao watasikia hasira yake na mngurumo wake.
: