وَاذْكُرْ إِسْمَاعِيلَ وَالْيَسَعَ وَذَا الْكِفْلِ ۖ وَكُلٌّ مِنَ الْأَخْيَارِ
Al-Barwani
Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
: