مُتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۖ لَا يَرَوْنَ فِيهَا شَمْسًا وَلَا زَمْهَرِيرًا
Al-Barwani
Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
Quran
76
:
13
Kiswahili
Read in Surah